Sunday, April 11, 2010

Ili mradi tufike


Hivi ndivyo tunavyosafiri mahali pengi nchini tanzania

Saturday, December 05, 2009

Maonesho ya wajasiriamali yaliyoandaliwa na SIDO

Pichani nikiwa na mjasiriamali wa kazi za mikono kutoka Dar.
Waoneshaji wamelalamikia kukosa watembeleaji kwenye mabanda yao.
Maonesho haya yanafanyika ndani ya uwanja wa Jamhuri,Morogoro.
Yanatajiwa kumalizika hapo kesho.


Hapa nikiwa napata maelezo kuhusu mashine ya kuyeyusha shaba

Friday, November 20, 2009

siku ya uzinduzi wa UMEP

Haya ni matukio ya siku ya Mradi wa mazingira kinole